JK NA ALLASANE OUATTARA HUKO ARUSHA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Allasane Outtara wa Ivory Coast wakati akimpokea katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro, Rais Outtara ni mmoja wa wageni mashuhuri wanaohudhuria mkutano wa AFBD unaoendelea mjini Arusha.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA