BILIONEA SAMBEKE AFARIKI DUNIA




Hii ndio ndege ambayo imesababisha kifo cha  mfanyabiashara maarufu jijini Arusha na nchini kwa ujumla ndugu Joseph Sambeke(49) ambaye alifariki njiani wakati akipelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi mazishi yake yamepangwa kufanyika Alhamisi katika eneo la Karanga,Moshi.

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO