TENGA KUFUNGUA KOZI YA UONGOZI YA FIFA


Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na pia Rais wa shirikisho la CECAFA Bw. Leodiger Tenga anatarajia kufungua Kozi ya Uongozi na Utawala ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) inayoanza kesho (Agosti 6 mwaka huu) Msimbazi Center jijini Dar es Salaam.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

SASA NI ROBO FAINALI