MATUKIO MBALI MBALI YA PICHA BUNGENI LEO


Mwigulu Mchemba (kulia) wa jimbo la Iramba Mashariki akibadishana hoja na Mbunge wa Namtumbo Vita Kawawa wote ni wabunge wa CCM  Bungeni Dodoma
Maafisa wa Bunge wakiwa makini kufuatilia hoja mbalimbali  za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa Fedha 2012-2013.
Mbunge wa Kinondoni Iddi Azan  (kulia) na Mbunge wa Muheza Hebert Mtangi ( kushoto ) wakielekea ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
Naibu Spika Job Ndugai (kushoto) akimsikilza Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela katika viwanja vya Bunge Dodoma leo.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

SASA NI ROBO FAINALI