TIMU YA MBEYA YAFANA AIRTEL RISING STARS
![]() |
Timu ya wasichana wa Mbeya wakifurahia ushindi katika mechi za nusu fainali za Airtel Rising Star zilizofanyika leo ambapo mbeya imeifunga Ilala kwa penati mabao 3-2 |
![]() |
Wachezaji wa timu ya mbeya wa michuano ya Airtel Rising Stars
wakifurahia ushindi walioupata leo baada ya kuifunga timu ya Ilala |
![]() |
Timu ya wavulana mbeya ikishangia ushindi baada ya kuifunga ilala mabo 5-2 katika mchezo wa nusu fainali ya michuano yaAirtel Rising Stars |