TIGO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA INTERNET

Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya simu ya Tigo, Alice Maro (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu huduma mpya mpya ya 'Tigo Internet Mega Boksi' ambapo mteja anaweza kununua kifurushi kwa sh. 450  kwa ajili ya matumizi ya barua pepe, Facebook, Twitter kwa kuperuzi kwenye mtandao kwa saa 24. Kushoto ni Kwame Makundi ambaye ni Meneja Oparesheni Huduma za Intaneti wa kampuni hiyo.

Kwame Makundi ambaye ni Meneja Oparesheni Huduma za Intaneti wa kampuni hiyo, akifafanua jambo kuhusu huduma hiyo.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)