NMB YAIPA WIZARA SH. BILIONI 7.9 KAMA GAWIO KWA SERIKALI
Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa akifungua
mkutano wa siku mbili wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha jana mjini
Dar es salaam.
Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa(wa nne kutoka kushoto) akiwa na
Manaibu wake Janet Mbene (wa tatu kutoka
kushoto) ,Naibu Waziri wa Fedha Saada
Salum (wan ne kutoka kulia) wakiimba maalum wa wafanyakazi wakati mkutano wa
Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha uliofunguliwa leo mjini Dar es salaam
na Waziri huyo.
Mtendaji Mkuu wa Benki (Chief Executive Officer ) ya
NMB Mark Wiessing (wa pili kushoto) akizungumza na Waziri wa Fedha Dr. William
Mgimwa(wa pili kulia)jana mjini Dar es salaam wakati wa hafla fupi ya Benki
hiyo kukabidhi hundi ya shilingi bilioni
saba nukta tisa(7.9 ) ikiwa ni gawio kwa Serikali ya Tanzania kutokana na faida
iliyopata. Wengini ni Naibu Waziri wa Fedha Janet Mbene (kulia0 na Naibu Waziri
wa Fedha Saada Salum (kushoto).