NAPE AKAGUWA MRADI WA BARABARA MIGOLI - IRINGA

1.2  Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimhoji mambo mbalimbali mtaalamu wa ujenzi wa kampuni ya China ya Sin Hydro, Zhang Wen Ge, alipokagua ujenzi wa barabara ya Dodoma- Iringa, katika eneo linalojengwa na kampuni hiyo lenye kilometa 95 kati ya Migoli na Iringa, alipopita katika barabara hiyo akiwa njiani kwenda mjini Iringa katika ziara ya kikazi, juzi. (Picha na Bashir Nkoromo)

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)