KAMATI YA MISS TANZANIA YAZUNGUMZA NA WAHIRIKI WA SHINDANO LA MISS CHANG'OMBE


 Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Bw. Hashim Lundenga akizungumza na warembo wanaoshiriki shindano la kumtafuta malkia wa kitongoji cha Chang'ombe yaani Miss Chang'ombe linalotarajiwa kufanyika jumamosi ijayo kwenye ukumbi wa Quality Center jijini Dar es salaam, kamati ya Miss Tanzania imetembelea mazoezi ya warembo hao leo jioni katika viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe.
 Warembo wa Miss Changombe wakipozi kwa picha wakati wa mazoezi yao leo.
Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Bw. Hashim Lundengaakisisitiza jambo wakati alipoongea na warembo hao leo, kutoka kushoto ni Aidan Rico Afisa uhusiano Miss Tanzania , mmoja wa warembo walioshika nafasi za juu miss Tanzania mwaka jana na Albert Makoye mkuu wa itifaki Miss Tanzania.
 Warembo wa Miss Changombe wakipozi kwa picha wakati wa mazoezi yao leo.
 Warembi wakiaza rasmi mazoezi yao mara baada ya  mazungumzo na kamati ya Miss Tanzania.
 Kutoka kushoto ni Hashim Lundenga, Bosco Majaliwa na baadhi ya warembo waliohudhuria katika mazoezi hayo.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)