BUKUKU AKONGA NYOYO ZA WATU


Mchekeshaji maarufu kwa sasa jijini Dar es Salaam Evans Bukuku akiwaburudisha wapenzi wa Vuvuzela Entertainment katika shoo yake iliyofanyika Nyumbani Lounge.

Pichani Juu na Chini ni mashabiki wa ‘Evans Bukuku Show’ wakivunja mbavu kwa vicheko.


Mmoja wa wachekeshaji wa kundi hilo Dogo Pepe akiwa kazini.
 Evance Bukuku akichat hili na lile na fans wa Show yake. 
Evans Bukuku akishow love na  baadhi ya mashabiki zake.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)