JK NA ALLASANE OUATTARA HUKO ARUSHA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Allasane Outtara wa Ivory Coast wakati akimpokea katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro, Rais Outtara ni mmoja wa wageni mashuhuri wanaohudhuria mkutano wa AFBD unaoendelea mjini Arusha.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

SASA NI ROBO FAINALI