AWAMU YA PILI YA UTANDAZAJI WA BOMBA LA UMEME WA GESI KUTOKA UBUNGO HADI MWENGE KUMALIZIKA MWEZI UJAO MWISHONI

Hatua hiyo itawezesha nyumba 56 kutoka eneo la mikocheni na viwanda sita vilivyopo eneo hilo kupata umeme wa gesi.

Akizungumza na waandishi wa habari katika mahojiano jijini Dar es salaam Afisa utafiti katika kurugenzi ya masoko na uwekezaji wa shirika la maendeleo la petroli ( TPDC ) Emmanuel Gilbert amesema kwamba mradi huo umetoa matolea yatakayowezesha pia upatikanaji wa nishati chuo cha maji Rwegulila.

Maeneo mengine yanayoweza kunufaika ni pamoja na Sinza, Lugalo Jeshini, Mlimani city, chuo kikuu cha ardhi,chuo kikuu cha  Dar es salaam.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)